Lakeside School
LAKESIDE ENGLISH MEDIUM PRE AND PRIMARY SCHOOL
Ni SHULE ya kisasa yenye walimu mahili na wenye uzoefu wa kufundisha wanafunzi kwa weredi wa hali ya juu. Shule hii ina mazingira tulivu ya watoto kujiandaa na masomo yao usiku na hata nyakati za kutwa. Rai kwa wazazi wa watoto ni kuwaleta wanao Lakeside School ili wapate elimu bora inayomwandaa mwanafumzi kwa ajili ya masomo yake ya baadaye na kumfanya raia mwema wa nchi yao.
Lakeside ni shule ya kutwa pekee.
Shule hii ipo karibu na mji wa Kibara, Bunda,Mara, Tanzania.
Shule ina vifaa vya kisasa kabisa Kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi na Walimu.
Shule ya Lakeside ipo pembezoni mwa Ziwa Victoria.
Lakeside School inakukumbusha kuwa ina Ada nafuu anayoimudu mzazi kwa kulipa kwa awamu nne.
Shule hii ina maji safi na Salama yaliyotibiwa na yanapatikana kwa wakati wote.
Shule ina huduma bora ya Afya na chakula kama wali na maharage, Ugali na samaki pamoja na matunda na mbogamboga.
Shule ina viwanja vya michezo yote ya watoto ili kujenga vipaji vyao kutoka umri mdogo.
Karibu
SHULE YA LAKESIDE ENGLISH MEDIUM inayopatikana Kibara, Bunda, Mara, Tanzania. Shule hii ni nzuri sana yenye walimu wazoefu na mahili katika fani ya Ufundishaji. Lakeside English Medium tunafundisha wanafunzi wenye mahitaji mbalimbali na kuandaa njia yao nzuri sana kimasomo. Wito wetu ni kwa wazazi kuzingatia Malezi bora ya watoto wao yanayotolewa hapa shuleni. Tunafundisha tabia njema shuleni na nyumbani pia tunawajengea watoto ari na mwamko wa kupenda masomo. Watoto wa Lakeside English Medium wamejengewa hamasa ya kupenda shule na mazingira shindani kimasomo wakiwa shuleni. Tunawasisitiza wazazi kwamba tegemeo la kuaminika ni Lakeside English Medium Pre and Primary School.
Tumeandaa wanafunzi wenye uwezo mzuri sana na wamekuwa washindi mara kadhaa katika mitihani yao. Je, unangoja nini? Mlete mwanao sasa
WASISLIANA NASI KUPITIA
SIMU: 0762609999
0768 963 712
EMAIL: [email protected]
P. O. Box 56 Bunda, Tanzania.
KARIBUNI SANA
Ni SHULE ya kisasa yenye walimu mahili na wenye uzoefu wa kufundisha wanafunzi kwa weredi wa hali ya juu. Shule hii ina mazingira tulivu ya watoto kujiandaa na masomo yao usiku na hata nyakati za kutwa. Rai kwa wazazi wa watoto ni kuwaleta wanao Lakeside School ili wapate elimu bora inayomwandaa mwanafumzi kwa ajili ya masomo yake ya baadaye na kumfanya raia mwema wa nchi yao.
Lakeside ni shule ya kutwa pekee.
Shule hii ipo karibu na mji wa Kibara, Bunda,Mara, Tanzania.
Shule ina vifaa vya kisasa kabisa Kwa ajili ya matumizi ya wanafunzi na Walimu.
Shule ya Lakeside ipo pembezoni mwa Ziwa Victoria.
Lakeside School inakukumbusha kuwa ina Ada nafuu anayoimudu mzazi kwa kulipa kwa awamu nne.
Shule hii ina maji safi na Salama yaliyotibiwa na yanapatikana kwa wakati wote.
Shule ina huduma bora ya Afya na chakula kama wali na maharage, Ugali na samaki pamoja na matunda na mbogamboga.
Shule ina viwanja vya michezo yote ya watoto ili kujenga vipaji vyao kutoka umri mdogo.
Karibu
SHULE YA LAKESIDE ENGLISH MEDIUM inayopatikana Kibara, Bunda, Mara, Tanzania. Shule hii ni nzuri sana yenye walimu wazoefu na mahili katika fani ya Ufundishaji. Lakeside English Medium tunafundisha wanafunzi wenye mahitaji mbalimbali na kuandaa njia yao nzuri sana kimasomo. Wito wetu ni kwa wazazi kuzingatia Malezi bora ya watoto wao yanayotolewa hapa shuleni. Tunafundisha tabia njema shuleni na nyumbani pia tunawajengea watoto ari na mwamko wa kupenda masomo. Watoto wa Lakeside English Medium wamejengewa hamasa ya kupenda shule na mazingira shindani kimasomo wakiwa shuleni. Tunawasisitiza wazazi kwamba tegemeo la kuaminika ni Lakeside English Medium Pre and Primary School.
Tumeandaa wanafunzi wenye uwezo mzuri sana na wamekuwa washindi mara kadhaa katika mitihani yao. Je, unangoja nini? Mlete mwanao sasa
WASISLIANA NASI KUPITIA
SIMU: 0762609999
0768 963 712
EMAIL: [email protected]
P. O. Box 56 Bunda, Tanzania.
KARIBUNI SANA
articles 3677 views Thu. 19th Jun 2025 6:21pm Z
Mitihani
Mitihani ya Midterm Inaanza tarehe 23 March 2024
events 3100 views Thu. 19th Jun 2025 6:21pm Z